Habari njema kwa wakazi wa Arusha.  Mjasiliamali Sweet Lishe anayetengeneza Unga wa watoto ulio na mchanganyiko wa virutubisho mbalimbali kama (Ulezi,Ngano,Ufuta,Mbegu za Maboga na Mahindi ya njano) sasa unga huu unapatikana Arusha. Tuma oda yako sasa ilikupata unga huu mzuri kwa afya ya watoto. 

Bei ya Unga ni Tsh 8000/= @ 1 KG.

Kwa mawasiliano zaidi: 0688 616 146.
Email: info@code-africa.com.