MTANZANIA ATENGENEZA GARAGE INAYOTEMBEA

MTANZANIA ATENGENEZA GARAGE INAYOTEMBEA

Adam Zakaria Kinyekire: Mtanzania aliyetengeneza helikopta aunda gereji la kuhama hama linalohudumu hadi Zambia.

 

Adam ndiye mtanzania aliyetengeneza helkopta kupitia gereji yake ya ufundi. Adam anasemema kuwa mara baada ya kumaliza shule ya msingi alianza kujifunza kutengeneza magari katika karakana ya kawaida.
Adam Alijifunza kazi hiyo mwenyewe bila kuhudhuria chuo chochote, lakini ni maarufu kwa kuunda helikopta na pia amewafurahisha madereva kwa gereji lake la kuhama hama. Kwa sasa anafanya kazi na vijana takribani 40 na wengine zaidi na 50 walipitia katika mikono yake kupata mafunzo

Adam anasema yeye ni mbunifu ambaye hakupata ujuzi wowote kutoka shuleni maana mara baada ya kumaliza shule ya msingi, alianza kujifunza kutengeneza magari katika karakana ya kawaida na baadaye akaanza kuunda vitu kama vile mashine ya kusagia nafaka, gari la karakana na hata helikopta.
Hii ni nukuu ya Adamu akielezea siri yake kubwa , “Ubunifu wa kutengeneza vitu mbalimbali huwa sifundishwi na mtu ni kitu tu ambacho kipo kwenye damu, ni kama vile ndoto tu ambapo vitu vinakuja kwenye akili kwamba naweza kutengeneza hiki na hiki lakini sijawahi kupata mafunzo popote,” Adam Zakaria anaeleza.
Kwa kusoma habari kamili.
Chanzo cha Habari./ Soucrce of news. https://www.bbc.com/swahili/habari-46265121
MTANZANIA ATENGENEZA GARAGE INAYOTEMBEA

Bulk sms Services with API

Code Africa entrepreneur   lets you send SMS text messages to a range of networks in each country. You can choose to send directly from your PC, your BulkSMS web account, your phone, or even connect your systems application to our messaging server.
Code Africa entrepreneur aims to provide a standard platform to allow clients in East Africa to quickly deploy any SMS service. This includes SMS alerts, SMS competitions, SMS voting, SMS information services, SMS church services, SMS marketing campaigns. ect,
We do give out a free Demo account to all users who want to test our services. In case you are i need of a demo account kindly drop your email on the front page you will see a place for email subscription and our team will help you.