by codeafrica | Nov 20, 2018 | Business, Technology

Adam Zakaria Kinyekire: Mtanzania aliyetengeneza helikopta aunda gereji la kuhama hama linalohudumu hadi Zambia.
Adam ndiye mtanzania aliyetengeneza helkopta kupitia gereji yake ya ufundi. Adam anasemema kuwa mara baada ya kumaliza shule ya msingi alianza kujifunza kutengeneza magari katika karakana ya kawaida.
Adam Alijifunza kazi hiyo mwenyewe bila kuhudhuria chuo chochote, lakini ni maarufu kwa kuunda helikopta na pia amewafurahisha madereva kwa gereji lake la kuhama hama. Kwa sasa anafanya kazi na vijana takribani 40 na wengine zaidi na 50 walipitia katika mikono yake kupata mafunzo
Adam anasema yeye ni mbunifu ambaye hakupata ujuzi wowote kutoka shuleni maana mara baada ya kumaliza shule ya msingi, alianza kujifunza kutengeneza magari katika karakana ya kawaida na baadaye akaanza kuunda vitu kama vile mashine ya kusagia nafaka, gari la karakana na hata helikopta.
Hii ni nukuu ya Adamu akielezea siri yake kubwa , “Ubunifu wa kutengeneza vitu mbalimbali huwa sifundishwi na mtu ni kitu tu ambacho kipo kwenye damu, ni kama vile ndoto tu ambapo vitu vinakuja kwenye akili kwamba naweza kutengeneza hiki na hiki lakini sijawahi kupata mafunzo popote,” Adam Zakaria anaeleza.
Kwa kusoma habari kamili.
Chanzo cha Habari./ Soucrce of news. https://www.bbc.com/swahili/habari-46265121
by codeafrica | Nov 15, 2017 | Technology
Innovative Technology and Energy Center (iTECH) present to you 2018 Startup Mission for Art/Design Responsibility and Technology (S.M.A.R.T). Be in a position to win $1,000 USD toward your business startup.
Do you have an Idea and you don’t have a capital? Register and participate in this 2018 S.M.A.R.T Business Plan Competition. Location is Nelson Mandela Africa Institute of Science and Technology on January 30, 2018.Harry up..! Application must be completed by December 15, 2017.
Below are Organizers and Sponsors.
by codeafrica | Sep 13, 2017 | Education, Technology

FileZilla is open source software distributed free of charge under the terms of the GNU General Public License.
I do use FileZilla in our normal and daily tasks like when we want to upload files to web servers. I have been using it more and more in my daily programming works.
According to the report from the below video see my Analysis Report from the same clip.
Most of the email which has been used to login in to the server is for the IEBC staff. Now you can ask yourself why this IEBC was longing in the server to do what during the election.
Another Account was created by using the user under email. jlimaris@iebc.or.ke as indicated at 0:28 in the clip.
# 0:36 the Pdf was uploaded in the server.
# 0:47, No data from the Polling stations also no Uploads of 34Bs Forms. The same 34B has been uploaded more than one by one user.
# At 2:00 more files were deleted in the server.
#At 3:10 the report shows that an external network from Wanainchi telecoms which is not part of the IEBC network.
Now guys here we can learn something that we can track the history log in in the server which can help us to know what has been happening and it was at what time.
For those programmers who need to download FileZilla and have a look. Click here do download.
by codeafrica | May 19, 2017 | Business, Technology
Code Africa believe that it’s possible to track all kind of asset which you have. We provide simple Interface According to your requirement from the design we have linked with third party tracking services providers.(API)
by codeafrica | May 19, 2017 | Business, Technology
Code Africa entrepreneur lets you send SMS text messages to a range of networks in each country. You can choose to send directly from your PC, your BulkSMS web account, your phone, or even connect your systems application to our messaging server.
Code Africa entrepreneur aims to provide a standard platform to allow clients in East Africa to quickly deploy any SMS service. This includes SMS alerts, SMS competitions, SMS voting, SMS information services, SMS church services, SMS marketing campaigns. ect,
We do give out a free Demo account to all users who want to test our services. In case you are i need of a demo account kindly drop your email on the front page you will see a place for email subscription and our team will help you.